Kampuni yako ya OREHA inakuletea mashine za kisasa za kuulia na kufukuzia mbu zinazotumia umeme, na ambazo zina uwezo wa kudumu kwa takribani siku 60 (miezi 2) tangu kununua.
faida za mashine hizi:
1. Zinakuja tofauti na dawa, hivyo unaweza ukanunua dawa pale inapoisha na kuendelea kutumia mashine yako
2. Haugombani na watoto pale wanapoacha mlango wazi, dawa inakuwezesha kuwepo katika chumba/nyumba kwa kipindi chote inapokuwa inawaka
3. Unaweza pia kusafiri nayo (portable) kama unakoenda kuna chanzo cha umeme
4. Inakula umeme mdogo sana ambao hauwezi kukuathiri katika matumizi yako ya LUKU
5. Haina madhara kwa binadamu (wakubwa na wadogo)
6. Ni rafiki kwa mazingira (haitoi moshi, wala harufu mbaya)
7. Haiitaji kukaa nje wakati wa kuweka kama vile dawa za kupulizia
8. Ni rahisi kutumia, unachomeka katika umeme na kuwasha tu
9 Inaweza kutumika kama marembo ndani ya nyumba
10. Inaweza kutumika kama chanzo cha manukato ndani ya nyumba (air fresh)
Bei: ni sawa na kutupa, inapatikana kwa kiasi cha shilingi 12,000/= tu ikiwa ni gharama ya mashine na dawa, na shilingi 6,000/= kama utaitaji dawa peke yake, karibuni sana
Huu ndio muonekano wake |
Muonekano wa boksi wa mashine tulizonazo kwa sasa |
Aina nyingine za muonekano wa mashine |
Inatumia Umeme |
Aina ingine tuliyonayo kwa sasa |
Dawa yake (re fill) zinapatikana kwa wingi, ziko aina tofauti (zilizo na harufu (manukato) na zisizo na manukato |
KARIBUNI SANA, KWA DAR ES SALAAM UKIAGIZA KUANZIA TATU (3) TUNAKULETEA MPAKA NYUMBANI/OFISINI, KWA MIKOANI TUNATUMA KWA GHARAMA ZA MTEJA
Comments
Post a Comment